Saturday, June 29, 2013

Rais Obama aenda kuiona familia ya Mzee Madiba huko Afrika Kusini.

Rais Obama aenda kumuona Rais wa zamani na mpigania ubaguzi wa rangi Afrika kusini Rais Mandera.

Thursday, March 28, 2013

PICHA TOFAUTI TOFAUTI KATIKA MDAHALO WENYE MADA ZA ARDHI, MADINI NA KATIBA YA TANZANIA ULIOFKATIKA KATIKA WILAYA YA NYANG'HWALE ( KHARUMWA ) TAREHE 02/03/2013. PICHA NA MARK DE FRANCES

Aliyeshika kipaza sauti ni Mtoa Mada wa MDAHALO ndugu Adelatus Kilangi ambae pia ni Lecturer St. Augustine University ( MWANZA )

Kwenye picha ni Mratibu wa Mradi wa kuimarisha mahusiano kati ya wabunge na wananchi ndg. ISAKA KUBINI kupitia shirika lisilo la kiserikali la GEITA NGO's PLATFORM ( GNP ) lenye makazi yake makuu hapa Geita mjini.

Kwenye picha ni aliyekuwa mgeni rasmi katika Mdahalo Afisa Tawala wa wilaya mpya ya Nyang'hwale Ndg. MANYONYI MANG'AMU

(Kwenye Picha) ni wanafunzi wa shule ya sekondari Nyang'hwale wakiwa kwenye Mdahalo.

Kwenye picha ni mwalimu wa shule ya Sekondary NYUGWA Mwl. Dionidas John akichangia mada katika mdahalo huo

Bango kama linavyosomeka wakati wa mdahalo huko Kharumwa.

Mwakilishi wa Mafundi Seremala Bw. Serafin Richard.

Mtoa mada bw. Adelatus Kilangi akifafanua jambo kuhusiana na mchango wa maada iliyochangiwa na mmoja wa wananchi wa Kharumwa juu ya mkuu wa wilaya achaguliwe toka wilaya aliyozaliwa.

Mmoja wa wanamdahalo akichangia maoni.









Mc bw. Luxford Bundala akiwakaribisha wananchi wa Kharumwa katika mdahalo huo. (1)

(2)

(3)

Kwenye picha ya pamoja ni Mgeni rasmi Bw. Manyonyi Mang'ambu na mtoa mada Bw. Adelatus Kilangi.


katika picha ni Mraghabishi wa mdahalo Bw. Bernard Otieno



Katika picha ya pamoja ni wajumbe waliofuatana na Mtoa mada toka St. Augustine University ( Mwanza )

Thursday, January 24, 2013

Picha za Ufunguzi wa mashindano ya MAGALULA CUP tar: 23.01.2013 ktk uwanja wa GGM Geita

1st eleven ya timu ya wilaya ya Geita.

Waamuzi wa mpambano huo

Timu ya wilaya ya Chato


Aliyevaa T-shirt ya Tanzania ni Afisa michezo wa mji Geita bw. Wambura Marwa.

Mwenye miwani ni Mkuu wa Wilaya ya Geita MH: Omary Manguchie

Jukwaa kuu wakifuatilia mpambano kwa umakini kabisa.

Hapa ni mistari inayoelekea kwa mgeni rasmi kwa ajili ya ukaguzi